Kigadjerawang

Kigadjerawang (pia Kigajirrabeng) ni lugha ya Kijarrakan nchini Australia inayozungumzwa na Wagadjerawang katika majimbo ya Australia Magharibi na [[Northern Territory. Mwaka wa 2005, kulikuwa na wasemaji wa Kigadjerawang wawili tu, na lugha imekaribia kutoweka kabisa hivi karibuni. Wengine hukiangalia kuwa lahaja ya Kimiriwung.


From Wikipedia, the free encyclopedia ยท View on Wikipedia

Developed by Tubidy