Kihumburi-Senni

Kihumburi-Senni ni lugha ya Kinilo-Sahara nchini Burkina Faso na Mali inayozungumzwa na Wasonghay. Mwaka wa 1999 idadi ya wasemaji wa Kihumburi-Senni nchini Burkina imehesabiwa kuwa watu 125,000. Pia kuna wasemaji 15,000 nchini Mali. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kihumburi-Senni iko katika kundi la Kisonghay.


From Wikipedia, the free encyclopedia ยท View on Wikipedia

Developed by Tubidy