Kikachari

Kikachari ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Uhindi inayozungumzwa na Wakachari. Mwaka wa 1997 idadi ya wasemaji wa Kikachari imehesabiwa kuwa watu 59,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kikachari iko katika kundi la Kibodo.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy