Kikedang

Kikedang ni lugha ya Kiaustronesia nchini Indonesia inayozungumzwa na Wakedang kwenye kisiwa cha Lembata. Mwaka wa 2008 idadi ya wasemaji wa Kikedang imehesabiwa kuwa watu 30,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kikedang iko katika kundi la Kibima-Lembata.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy