Kinakwi

Kinakwi ni lugha ya Kipapua nchini Papua Guinea Mpya inayozungumzwa na Wanakwi. Mwaka wa 2003 idadi ya wasemaji wa Kinakwi imehesabiwa kuwa watu 280. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kinakwi iko katika kundi la Kiarai.


From Wikipedia, the free encyclopedia ยท View on Wikipedia

Developed by Tubidy