Kiningera

Kiningera ni lugha ya Kipapua nchini Papua Guinea Mpya inayozungumzwa na Waningera. Mwaka wa 2003 idadi ya wasemaji wa Kiningera imehesabiwa kuwa watu 150. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kiningera iko katika kundi la Kibewani.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy