Kiowa

Kiowa ni lugha ya Kiaustronesia nchini Visiwa vya Solomon inayozungumzwa na Waowa kwenye visiwa vya Makira, Santa Anna na Santa Catalina. Mwaka wa 1999 idadi ya wasemaji wa Kiowa imehesabiwa kuwa watu 8410. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kiowa iko katika kundi la Kioseaniki.


From Wikipedia, the free encyclopedia ยท View on Wikipedia

Developed by Tubidy