Kirabha

Kirabha ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Uhindi inayozungumzwa na Warabha. Mwaka wa 2001 idadi ya wasemaji wa Kirabha imehesabiwa kuwa watu 165,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kirabha iko katika kundi la Kisal.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy