Kisidi

Kisidi (pia hujulika kama Kihabsi yaani Kihabeshi) ilikuwa lugha ya Kibantu iliyotokea nchini India, chimbuko lake likiwa ni Kiswahili.

Iliripotiwa kuwa Wasidi walikuwa wanazungumza lugha hiyo hadi katikati ya karne ya 20 huko Kathiawar, Gujarat[1].

  1. Whiteley, 1969, Swahili: The Rise of a National Language

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy