Kizhire

Kizhire ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Nigeria inayozungumzwa na Wazhire. Idadi ya wasemaji wa Kizhire haijulikani. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kizhire iko katika kundi la Plateau.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy