Waadhola

Waadhola (pia: Jopadhola; kwa lugha yao: Abakiga, yaani watu wa mlimani) ni kabila la Waniloti wanaoishi mashariki mwa Uganda (Wilaya ya Tororo) walipohamia katika karne ya 16.

Lugha yao ni Kiadhola (Dhopadhola), mojawapo kati ya lugha za Kiniloti.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy