Wadigo

Wadigo ni kabila la watu wa Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Tanga, hasa kwenye mji wa Tanga. Pia wapo Kenya wanapoishi upande wa Kusini wa mji wa Mombasa. Huko Kenya huhesabiwa kati ya mijikenda. [1] Lugha yao ni Kidigo.

  1. Bettina Ng’weno. “Inheriting Disputes: The Digo Negotiation of Meaning and Power through Land.” African Economic History, no. 25, 1997, pp. 59–77. JSTOR, https://doi.org/10.2307/3601879. Accessed 19 Aug. 2023.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy