Wakisankasa

Wakisankasa ni kabila dogo la watu wa mkoa wa Arusha na mkoa wa Mara katika Tanzania Kaskazini.[1]

Mwaka 1987 walikadiriwa kuwa 4,670 tu.[2] Ni tofauti na makundi mengine ya watu wanaoitwa Wadorobo.

  1. Matthias Brenzinger (1993), Language Death: Factual and Theoretical Explorations with Special Reference to East Africa, Walter de Gruyter, ISBN 3110134047
  2. Languages of Tanzania

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy