Abuja

Sehemu za Mji wa Abuja


Jiji la Abuja
Nchi Nigeria
Mahali pa Abuja kule Nigeria

Abuja ni mji mkuu wa Nigeria. Idadi ya wakazi wake imekadiriwa kuwa watu 178,462 [1]. Mwaka wa 1976, serikali ya Nigeria iliamua kuanzisha mji mkuu mpya badala ya Lagos. Wakachagua katikati ya nchi, na mipango ya ujenzi ikaundwa chini ya makampuni matatu ya Marekani: PRC Corporation; Wallace, McHarg, Roberts na Todd; na Archisystems. Mipango hiyo ikabadilishwa baadaye na Kenzo Tange, msanifu majengo maarufu wa Japani. Abuja ikatangazwa rasmi kuwa mji mkuu wa Nigeria tarehe 12 Desemba 1991. Iko mahali pa 9, 10, Kaskazini na 7, 10, Mashariki. [2] Archived 25 Machi 2011 at the Wayback Machine.

Balozi za nchi nyingi zikahamishwa Abuja kutoka Lagos.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy