Alfabeti ya Kilatini

Nchi zinazotumia alfabeti ya Kilatini kwa lugha zao
Kijani nyeupe: Nchi zinazotumia herufi za Kilatini pamoja na alfabeti za kienyeji

Alfabeti ya Kilatini (pia: Alfabeti ya Kirumi) ndiyo alfabeti inayotumiwa kwa lugha nyingi zaidi duniani. Hata Kiswahili siku hizi huandikwa kwa herufi za Kilatini kama kwa mfano kwenye ukurasa huu wa Wikipedia.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy