Amri

Amri za Mungu zilizoandikwa kwa Kiebrania juu ya sahani ya kioo.

Amri (kutoka Kiarabu) ni agizo au katazo linalotolewa na mamlaka yoyote kwa watu walio chini yake kwa namna moja au nyingine.


From Wikipedia, the free encyclopedia ยท View on Wikipedia

Developed by Tubidy