Bahari ya Ionia

Ramani ya eneo hilo.

Bahari ya Ionia (kwa Kigiriki Ιόνιο Πέλαγος ionio pelagos; kwa Kiitalia Mar Ionio; kwa Kialbania: Deti Jonë; kwa Kiingereza: Ionian Sea) ni sehemu ya Bahari Mediteranea upande wa kusini wa Bahari ya Adria.

Inapakana na Italia ya kusini (mikoa ya Puglia, Basilicata, Calabria na Sisilia) upande wa magharibi, Albania na Ugiriki upande wa mashariki.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy