Bahari ya Ufilipino

Bahari ya Ufilipino

Bahari ya Ufilipino ni bahari ya pembeni ya Bahari Pasifiki iliyopo upande wa mashariki wa Ufilipino na Taiwan. Bahari ya Ufilipino imepakana na Japani upande wa kaskazini, Visiwa vya Mariana upande wa mashariki na Kisiwa cha Palau upande wa kusini. Eneo lake ni takribani kilomita za mraba milioni 5.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy