Banjul


Jiji la Banjul
Nchi Gambia
Mji Banjul
Wilaya Banjul
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 357 238
Muonekano wa Mji wa Banjul
Mahali pa Banjul katika Gambia
Banjul mjini
Geti ya Arch 22 ya kuingia mji wa Banjul

Banjul ni mji mkuu wa Gambia. Mji wenyewe una wakazi 34,828 pekee[1] lakini pamoja na mitaa ya nje ni zaidi ya nusu milioni.

Banjul iko kwenye kisiwa cha Mt. Mariamu (au: Kisiwa cha Banjul) mdomoni mwa mto Gambia unapoishia katika bahari ya Atlantiki.

  1. Statoids, Districts of Gambia, (2003), see Banjul District (Kiingereza)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy