Bara

AmerikaUlayaAsiaAustraliaAustraliaAfrikaAntaktika
Ramani ya dunia inayoonyesha mabara
saba yanayohesabiwa kwa kawaida.

Bara (au kontinenti) ni pande kubwa la nchi kavu la Dunia linalozungukwa na bahari.[1] Kwa kawaida tunatofautisha mabara 7 ya Afrika, Amerika Kaskazini, Amerika Kusini, Antaktiki, Asia, Australia, na Ulaya.

  1. Ufafanuzi kufuatana na Kamusi Kuu ya Kiswahili, uk. 67; BAKITA 2015

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy