| |||||
Kaulimbiu ya taifa: "Nchi moja, taifa moja" | |||||
Wimbo wa taifa: Druk tsendhen | |||||
Mji mkuu | Thimphu | ||||
Mji mkubwa nchini | Thimphu | ||||
Lugha rasmi | Dzongkha | ||||
Serikali | Ufalme Jigme Khesar Namgyal Wangchuck (འཇིགས་མེད་གེ་སར་རྣམ་རྒྱལ་དབང་ཕྱུག) Tshering Tobgay (ཚེ་རིང་སྟོབས་རྒྱས) | ||||
Ufalme wa kikatiba Wangchuk Dynasty |
17 Desemba 1907 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
38,394 km² (ya 133) 1.1 | ||||
Idadi ya watu - 2018 kadirio - 2006 sensa - Msongamano wa watu |
754,388 (ya 165) 672,425 19.3/km² (ya 162) | ||||
Fedha | Ngultrum (BTN )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
BTT (UTC+6:00) (haitumiki) (UTC+6:00) | ||||
Intaneti TLD | .bt | ||||
Kodi ya simu | +975
- |
Bhutan ni nchi ndogo ya Bara Hindi katika milima ya Himalaya.
Nchi imepakana na Uhindi na jimbo la Tibet la China.
Imetawaliwa na mfalme Jigme Singye Wanchuck tangu 1972.
Kuna wakazi takriban lakhi saba unusu.
Mji mkuu unaitwa Thimphu.