Biashara

Mwanamume akiuza biskuti.

Biashara (kutoka neno la Kiarabu) ni shughuli au mchakato wa kununua na kuuza mali au vitu. Inaweza kufanywa na mtu binafsi au kwa ushirikiano au na jamii au nchi kwa jumla.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy