Bolivia

República de Bolivia
Jamhuri ya Bolivia
Bendera ya Bolivia Nembo ya Bolivia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Kihispania: ¡Morir antes que esclavos vivir!
("Heri kufa kuliko kuishi kama watumwa")
Wimbo wa taifa: Bolivianos, el hado propicio
Lokeshen ya Bolivia
Mji mkuu Sucre
16°29′ S 68°8′ W
Mji mkubwa nchini Santa Cruz
Lugha rasmi Kihispania, Kiguarani, Kiquechua, Kiaymara
Serikali Jamhuri
Luis Arce
Uhuru
Kutoka Hispania
6 Agosti 1825
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
1,098,581 km² (ya 28)
1.29%
Idadi ya watu
 - 25 Machi 2014 kadirio
 - 2001 sensa
 - Msongamano wa watu
 
10,556,102 (ya 83)
8,280,184
9/km² (ya 221)
Fedha Boliviano (BOB)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
— (UTC-4)
— (UTC?)
Intaneti TLD .bo
Kodi ya simu +591

-


Ramani ya Bolivia
Mji wa La Paz
Uyuni

Bolivia (jina linatokana na shujaa Simon Bolivar) ni nchi isiyo na mwambao wa bahari katika Amerika Kusini.

Imepakana na Brazil, Paraguay, Argentina, Chile na Peru.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy