Canberra

Canberra

Mhimili wa Bunge mjini Canberra kati ya jengo la bunge na makumbusho kwa marehemu wa vita kuu
Habari za kimsingi
Utawala Australian Capital Territory
Historia iliundwa 12 Machi 1913 na kuwa mji mkuu 9 Mei 1927
Anwani ya kijiografia Latitudo: 35°18'30"S
Longitudo: 149°7'30"E
Kimo 632 m juu ya UB
Eneo 805.6 km²
Wakazi 332,798 (2006)
Msongamano wa watu watu 401 kwa km²
Simu +56 (nchi) 73 (mji)
Mahali

Canberra ni mji mkuu wa Australia mwenye wakazi 330,000. Si sehemu ya jimbo lolote la shirikisho la Australia lakini limepewa eneo lake la kitaifa kando la mto Molonglo ndani ya eneo la jimbo New South Wales.

Ramani ya Canberra

Iko kilomita 300 kusini magharibi ya Sydney na kilomita 650 kaskazini-masahriki ya Melbourne.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy