Dar es Salaam

Kwa maana nyingine, tazama Mkoa wa Dar es Salaam


Dar es Salaam
Jiji la Dar es Salaam
Jiji la Dar es Salaam
Jiji la Dar es Salaam

Nembo
Mahali paDar es Salaam
Mahali paDar es Salaam
Majiranukta: 6°48′0″S 39°17′0″E / 6.80000°S 39.28333°E / -6.80000; 39.28333
Nchi Tanzania
Mkoa Dar es Salaam
Tarafa 12
Kata 102
Mitaa 565
Serikali[1]
 - Aina ya serikali Jiji
 - Mstahiki Meya Omary S. Kumbilamoto
 - Mkurugenzi wa Jiji Jumanne K. Shauri
Idadi ya wakazi (2022)[2]: 74 
 - Wakazi kwa ujumla 5,383,728
EAT (UTC+3)
Msimbo wa posta 11xxx
Kodi ya simu 022
ISO namba TZ-02
Tovuti:  Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

Dar es Salaam ni jiji kubwa kuliko yote nchini Tanzania. Pia ni jina la mkoa wake. Dar es Salaam ni mji mkongwe na wenye watu wengi zaidi katika Jumuia ya Afrika Mashariki. Katika Tanzania ndio mji wenye vitega uchumi vingi na ndio mji unaoangaliwa na watu wengi.

Ni mji mkuu wa kibiashara wa Tanzania wakati Dodoma ni mji mkuu wa Tanzania (kinadharia tangu mwaka 1973). Mpango wa kuhamishia serikali mjini Dodoma unaendelea kwa kasi chini ya rais John Magufuli, japokuwa bado ofisi kadhaa za serikali, ikiwa ni pamoja na Ikulu, zipo Dar es Salaam.

Mji una wakazi wapatao 5,383,728 kwa hesabu ya sensa iliyofanyika katika mwaka wa 2022[3].

  1. Hitilafu ya kutaja: Invalid <ref> tag; no text was provided for refs named DSM
  2. Hitilafu ya kutaja: Invalid <ref> tag; no text was provided for refs named Sensa_2012
  3. https://assengaonline.com/2022/11/05/matokeo-ya-sensa-2022-tanzania/

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy