Ekaristi

Vipaji vya mkate na divai vilivyoandaliwa kwa adhimisho la ekaristi.


Ekaristi (pia Chakula cha Bwana) ni ibada iliyowekwa na Yesu Kristo wakati wa karamu ya mwisho, usiku wa kuamkia Ijumaa Kuu, siku ya mateso na kifo chake msalabani. Kwa madhehebu mbalimbali ya Kikristo, ekaristi ni sakramenti, tena moja ya sakramenti kuu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy