Eneo bunge la Ganze

Jamhuri ya Kenya

Makala hii imepangwa kwa mfululizo:
Siasa na serikali ya
Kenya



Nchi zingine · Atlasi


Eneo bunge la Ganze ni Jimbo la uchaguzi la nchini Kenya. Ni moja kati ya majimbo saba ya uchaguzi yanayopatikana katika Kaunti ya Kilifi iliyoko pwani mwa Kenya. Jimbo hili lina wodi tisa, zote zikiwachagua madiwani kwa Baraza la kaunti.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy