Eratosthenes

'

Eratosthenes
Amezaliwa276 KK
Amefariki194 KK
Kazi yakemtaalamu wa hisabati, jiografia


Eratosthenes wa Kirene (kwa Kigiriki Ερατοσθένης ο Κυρηναίος; 276 KK - 194 KK) alikuwa mtaalamu wa hisabati, jiografia, historia na lugha tena mkurugenzi wa maktaba ya Aleksandria katika Misri. Anakumbukwa hasa kama mtu wa kwanza aliyekadiria mzingo wa dunia. Anasemekana aliibuni neno "jiografia".


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy