Fiji

Matanitu Tu-Vaka-i-koya ko Viti
फ़िजी गणराज्य
فِجی رپبلک

Jamhuri ya Visiwa vya Fiji
Bendera ya Fiji Nembo ya Fiji
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: "Rerevaka na Kalou ka Doka na Tui"
"Umwogope Mungu na umheshimu malkia"
Wimbo wa taifa: God Bless Fiji
Lokeshen ya Fiji
Mji mkuu Suva
18°10′ S 178°27′ E
Mji mkubwa nchini Suva
Lugha rasmi Kiingereza, Kifiji na Kihindustani (Hindi/Urdu)
Serikali
Rais
Waziri Mkuu
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Machifu
Jamhuri chini ya kamati ya kijeshi
Ratu Wiliame Katonivere
Sitiveni Rabuka
Ratu Ovini Bokini
Uhuru
Tarehe
10 Oktoba 1970
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
18,274 km² (ya 151)
--
Idadi ya watu
 - Julai 2018 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
926,276 (ya 161)
46/km² (ya 148)
Fedha Fijian dollar (FJD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+12)
(UTC)
Intaneti TLD .fj
Kodi ya simu +679

-


Shujaa wa Mlimani kutokea Fiji

Fiji (kwa Kifiji: Matanitu ko Viti; kwa Kihindustani: फ़िजी, فِجی) ni nchi ya visiwani ndogo ya Melanesia katika Pasifiki yenye visiwa vikubwa 322 na wakazi 926,276.

Kati ya visiwa vingi kuna 106 vyenye wakazi. Visiwa vikuu ni Vanua Levu na Viti Levu wanapokaa asilimia 87 za wakazi wote, na ndipo mji mkuu, Suva ulipo.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy