Filipe Nyusi

Picha yake.

Filipe Jacinto Nyusi (amezaliwa 9 Februari, 1959 katika wilaya ya Mueda, mkoa wa Cabo Delgado, kaskazini mwa Msumbiji) ni mwanasiasa kutoka nchi ya Msumbiji. Anahudumu kama rais wa nne tangu 2015.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy