Gallia

Gallia wakati wa Caesar (58KK); ramani inaonyesha Gallia Cisalpina (jimbo la Kiroma katika Italia ya Kaskazini), Gallia Narbonensis ilikuwa jimbo la Kiroma katika Kusini ya Ufaransa; Gallia Celtica, Belgica na Aquitania zilikuwa sehemu za Gallia huru hadi Caesar (leo nchi za Ufaransa, Uswisi na Ubelgiji)

Gallia ni jina la kihistoria kwa ajili ya Ufaransa pamoja na maeneo ya jirani.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy