Ghuba ya Kalifornia

Eneo la Ghuba ya Kalifornia.
Picha ya Ghuba kutoka satelaiti ya NASA.

Ghuba ya California (pia: Bahari ya Cortez, inajulikana kwa lugha ya Kihispania kama Mar de Cortes au Golfo de California. kwa Kiingereza: Gulf of California) ni sehemu ya bahari iliyopo kati ya rasi ya Baja California na Meksiko bara. Eneo lake ni kama km² 160,000.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy