Grenada

Grenada
Bendera ya Grenada Nembo ya Grenada
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Ever Conscious of God We Aspire, Build and Advance as One People
Wimbo wa taifa: Hail Grenada
Wimbo la Kifalme: God Save the King
Lokeshen ya Grenada
Mji mkuu St. George's
12°3′ N 61°45′ W
Mji mkubwa nchini St. George's
Lugha rasmi Kiingereza
Serikali Ufalme wa kikatiba
Bunge kwa namna ya Westminster

Charles III
Cécile La Grenade
Keith Mitchell
Uhuru
Kutoka Uingereza

7 Februari 1974
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
344 km² (ya 203)
1.6
Idadi ya watu
 - Julai 2012 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
109,590 (ya 185)
318.58/km² (ya 45)
Fedha East Caribbean Dollar (XCD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-4)
(UTC-4)
Intaneti TLD .gd
Kodi ya simu +1-473

-



Grenada ni nchi ya kisiwani kusini mwa Bahari ya Karibi. Iko kaskazini kwa Trinidad na Tobago na kusini kwa Saint Vincent.

Ni nchi mwanachama wa jumuiya ya madola na mkuu wa Dola ni Mfalme Charles III wa Uingereza anayewakilishwa kisiwani na Gavana Mkuu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy