| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Ever Conscious of God We Aspire, Build and Advance as One People | |||||
Wimbo wa taifa: Hail Grenada Wimbo la Kifalme: God Save the King | |||||
Mji mkuu | St. George's | ||||
Mji mkubwa nchini | St. George's | ||||
Lugha rasmi | Kiingereza | ||||
Serikali | Ufalme wa kikatiba Bunge kwa namna ya Westminster Charles III Cécile La Grenade Keith Mitchell | ||||
Uhuru Kutoka Uingereza |
7 Februari 1974 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
344 km² (ya 203) 1.6 | ||||
Idadi ya watu - Julai 2012 kadirio - Msongamano wa watu |
109,590 (ya 185) 318.58/km² (ya 45) | ||||
Fedha | East Caribbean Dollar (XCD )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC-4) (UTC-4) | ||||
Intaneti TLD | .gd | ||||
Kodi ya simu | +1-473
- |
Grenada ni nchi ya kisiwani kusini mwa Bahari ya Karibi. Iko kaskazini kwa Trinidad na Tobago na kusini kwa Saint Vincent.
Ni nchi mwanachama wa jumuiya ya madola na mkuu wa Dola ni Mfalme Charles III wa Uingereza anayewakilishwa kisiwani na Gavana Mkuu.