Harare

Harare inavyoonekana kutoka kilima cha Kopje
Map of Zimbabwe with the province highlighted
Map of Zimbabwe with the province highlighted

Harare (zamani: Salisbury) ni mji mkuu wa Zimbabwe pia mji mkubwa nchini ukiwa kitovu cha utawala na uchumi. Uko kwenye kimo cha mita 1,500 juu ya UB.

Idadi ya wakazi imehesabiwa kufika 1,492,000[1], pamoja na mitaa ya nje hadi 3,120,000. Mtaa wa nje ulio mkubwa ni Chitungwiza yenye wakazi 340,000 kusini kwa uwanja wa ndege wa kimataifa.

  1. https://www.citypopulation.de/en/zimbabwe/cities/

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy