Havana


Jiji la Havana
Nchi Kuba
Faili:LaHabana.jpg
Havana wakati wa jioni
Mahali pa Havana nchini Kuba

Havana (kihisp. La Habana) ni mji mkuu na mji mubwa wa Kuba kwenye 23°8′N 82°23′W. Kuna wakazi milioni 2.2. Tangu 1982 mji wa kale umepokelewa katika orodha ya urithi wa dunia.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy