Hedhi

Vifaa vya kuzuia damu ya hedhi.

Hedhi (kutoka Kiarabu حيض) ni kipindi maalumu katika mzunguko wa mwanamke mwenye umri wa kuzaa. Wakati huo, ambao kwa kawaida unarudi kila baada ya mwezi mmoja hivi, yeye hutokwa na damu kwenye uke.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy