Hoteli

Hoteli
Hoteli mojawapo.
Hoteli ya Llao Llao huko Bariloche (Argentina).

Hoteli (kutoka neno la Kiingereza hotel linalotokana na lile la Kifaransa hôtel ambalo, sawa na neno "hospitali", lina asili katika Kilatini hospes, yaani mgeni) ni jengo kubwa lenye vyumba vingi, ambapo watu wanaweza kulala wakati hawapo nyumbani.

Wenye sehemu hizo wanakodisha chumba kwa siku yoyote. Wanatoa vyumba vya kulala, na kwa kawaida hata chakula, hatimaye kwa ajili ya huduma hizo hutaka pesa, ambazo kiasi chake hutegemea ubora wa jengo.

Pia kuna hoteli ambapo mikutano hufanyika.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy