Indiana

Faili:Indiana Dunes State Park 2016.jpg
Sehemu ya Jimbo la Indiana








Indiana

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Indianapolis
Eneo
 - Jumla 94,321 km²
 - Kavu 92,895 km² 
 - Maji 1,427 km² 
Tovuti:  http://www.in.gov/

Indiana ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu na mji mkubwa ni Indianapolis. Imepakana na Michigan, Ohio, Kentucky, na Illinois. Iko kwenye mwanbao wa Ziwa Michigan.

Jimbo lina wakazi wapatao 6,376,792 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 94,321.



From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy