Iowa

Muhuri wa jimbo la Iowa

|jina_rasmi = Iowa |picha_ya_satelite = Map of USA highlighting Iowa.png |maelezo_ya_picha = Mahali pa Iowa katika Marekani |picha_ya_bendera = Flag of Iowa.svg |ukubwa_ya_bendera = 100px |picha_ya_nembo = Iowa-StateSeal.svg |ukubwa_ya_nembo = 80px |settlement_type = Jimbo |native_name = |nickname = |subdivision_type = Nchi |subdivision_name = Bendera ya Marekani Marekani |subdivision_type1 = |subdivision_name1 = |subdivision_type2 = Mji mkuu |subdivision_name2 = Des Moines |area_total_km2 = 145743 |area_land_km2 = 144701 |area_water_km2 = 1042 |idadi_ya_wakazi_kwa_mwaka_wa = |population_note = |wakazi_kwa_ujumla = |website = http://www.iowa.gov/ }} Iowa ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Iko katika magharibi ya kati ya Marekani bara. Imepakana na Minnesota, Nebraska, South Dakota, Missouri na Illinois. Mto Missisippi ni mpaka wake upande wa mashariki kutazama Wisconsin na Illinois; mto Missouri ni mpapa wake upande magharibi kutazama Nebraska. Imekuwa jimbo la Marekani tangu 1846.

Mji mkuu wa jimbo na pia mji mkubwa ni Des Moines. Idadi ya wakazi wa jimbo lote hufikia watu 2,926,324 wanaokalia eneo la 145,743 km² ambalo ni hasa tambarare lenye rutba.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy