Jumuiya

Jumuiya (kwa Kiingereza: Commonwealth) kwa asili ya neno ni eneo la nchi lililotengwa kwa ajili ya utawala ndani ya dola fulani. Baadaye hutumiwa pia kwa muungano wa nchi kwa ajili ya malengo zilizo nayo pamoja.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy