Kaduna


Kaduna
Majiranukta: 10°31′23″N 7°26′25″E / 10.52306°N 7.44028°E / 10.52306; 7.44028
Country Nigeria
State Kaduna
Serikali
 - Governor Mohammed Namadi Sambo
Eneo
 - Jumla (3,080 km²)
Idadi ya wakazi (2006)
 - Wakazi kwa ujumla 1,458,900
 - Ethnicities Hausa
CET (UTC+1)
 - Summer (DST) CEST (UTC+1)
Tovuti:  http://www.kadunastate.gov.ng/
Mto Kaduna.

Kaduna ni mji mkuu wa jimbo la Kaduna kaskazini-kati mwa Nigeria. Mji huo, ambao uko kwenye Mto wa Kaduna, ni kiini cha biashara kubwa na usafiri kwa maeneo ya kilimo yaliyo karibu pamoja na reli na makutano ya barabara.

Idadi ya wakazi wa Kaduna ni 8,252,400.

Ishara ya Kaduna ni mamba, aitwaye Kada katika lugha ya Kihausa .


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy