Kahama (mji)


Kata ya Kahama
Nchi Tanzania
Mkoa Shinyanga
Wilaya Kahama
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 453,654

Kahama ni manisipaa[1] iliyo kaskazini magharibi mwa Tanzania na yalipo makao makuu ya wilaya ya Kahama Mjini katika Mkoa wa Shinyanga, wenye halmashauri yake ya pekee hivyo yenye hadhi ya wilaya. Halmashauri ilianzishwa baada ya kugawa Wilaya ya Kahama ya awali.

  1. JPM uplifts Kahama to municipality status, ippmedia 30.01.2021

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy