Kairo







Kairo

Bendera
Majiranukta: 30°03′N 31°22′E / 30.050°N 31.367°E / 30.050; 31.367
Nchi Misri
Mkoa Kairo
Tovuti:  www.cairo.gov.eg
Kairo jinsi inavyoonekana kutoka angani - njano ni rangi ya jangwa, kijani-nyeusi ni rangi ya mashamba kwenye bonde la Nile linalopanuka kuwa delta na rangi ya kijivu ni nyumba za Kairo

Kairo (kwa Kiarabu القاهرة al-Qāhira – „mwenye ushindi“) ni mji mkuu wa Misri na mji mkubwa wa nchi zote za Kiarabu, pia moja kati ya majiji makubwa duniani.

Kairo yenyewe inakadiriwa kuwa na wakazi 10,230,350 [1], kanda ya jiji pamoja na mitaa ya nje na mapembizo ni 15,628,325 [2].

  1. Walikuwa 7,902,085 mwaka 2011 wakati wa sensa, taz. Al-Qāhirah (Governorate) 2011
  2. Wakazi wa Kairo Kubwa walihesabiwa katika sensa ya 2011 kuwa 15,628,325.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy