Kalenda ya Gregori

Papa Gregori XIII anapokea mpango wa kalenda mpya kutoka kamati yake (uchongaji wa jiwe kwenye kaburi la Papa katika Basilika la Mt. Petro kwenye Vatikani.

Kalenda ya Gregori ni kalenda ambayo leo inatumiwa zaidi kimataifa. Jina limetokana na Papa Gregori XIII aliyeamua kutumia kalenda hiyo tangu tarehe 15 Februari 1582 badala ya Kalenda ya Juliasi.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy