Kalenda ya Juliasi

Kalenda ya Juliasi ni kalenda iliyoanzishwa katika Dola la Roma kwa amri ya Julius Caesar mnamo mwaka 46 KK Ilichukua nafasi ya kalenda ya Kirumi iliyotangulia.

Kalenda ya Juliasi ilibadilishwa na kalenda ya Gregori kuanzia karne ya 16 BK lakini ilikuwa kalenda rasmi katika nchi mbalimbali kama Urusi hadi karne ya 20. Mpaka leo ni kalenda ya liturgia katika Kanisa la Kiorthodoksi.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy