Kanisa la Kiorthodoksi la Eritrea

Picha takatifu ya Kiethiopia inayowaonyesha Yesu msulubiwa, Bikira Maria na mtakatifu Joji.

Kanisa la Kiorthodoksi la Eritrea ni madhehebu ya dini ya Ukristo iliyotawala makabila ya Eritrea kaskazini kwa karne kadhaa hadi sasa.

Wakristo hao wanaotaka kuzingatia imani sahihi ya Makanisa ya Kiorthodoksi ya Mashariki ni sehemu muhimu katika utamaduni wa Eritrea kama ulivyo kwa wenzao wa Ethiopia[1].

Kwa sasa lina waumini milioni 3.[2] wengi wao wakiishi nchini Eritrea,[3] lakini pia Ulaya na Amerika.

  1. FDRE States: Basic Information - Amhara Archived 10 Machi 2007 at the Wayback Machine., Population (accessed 26 Machi 2006)
  2. "Ethiopia: Orthodox Head Urges Churches to Work for Better World". Iliwekwa mnamo 2006-09-13.
  3. Berhanu Abegaz, "Ethiopia: A Model Nation of Minorities" (accessed 6 April 2006)

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy