Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 6 |
Karne ya 7 |
Karne ya 8
| Karne ya 9
| Karne ya 10
| ►
Miaka ya 700 |
Miaka ya 710 |
Miaka ya 720 |
Miaka ya 730 |
Miaka ya 740 |
Miaka ya 750 |
Miaka ya 760 |
Miaka ya 770 |
Miaka ya 780 |
Miaka ya 790
Karne ya 8 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 701 na 800. Kikamilifu kilianza tarehe 1 Januari 701 na kuishia 31 Desemba 800. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka "baada ya Kristo".
Kama kila "karne" ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya kibinadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu: katika hali halisi maendeleo na mabadiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.
Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii, kama haya yafuatayo.