Karthago

Maghofu ya Karthago.
Mahali pa Karthago na eneo la mamlaka yake mnamo mwaka 264 KK.

Karthago (kwa Kilatini Carthago; kwa Kigiriki Καρχηδών Karchēdōn; katika lugha asilia ya Kifinisia Qart-Hadašt, yaani "mji mpya") zaidi ya miaka 2000 iliyopita ulikuwa mji mkubwa katika Afrika ya Kaskazini karibu na Tunis ya leo nchini Tunisia.

Maghofu yake yameorodheshwa na UNESCO kama urithi wa dunia.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy