Kassim Majaliwa

Kassim Majaliwa


Waziri Mkuu wa Tanzania
Aliingia ofisini 
19 Novemba 2015

tarehe ya kuzaliwa 22 Desemba 1960 (1960-12-22)
Ruangwa
utaifa Mtanzania
chama Chama Cha Mapinduzi
mhitimu wa chuo cha ualimu Mtwara
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,
Chuo Kikuu cha Stockholm
taaluma mwanasiasa nchini Tanzania
Fani yake Mwalimu

Kassim Majaliwa (alizaliwa 22 Disemba 1960) ni mwanasiasa nchini Tanzania na waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy