Kentucky

Sehemu ya Jimbo la Kentucky








Kentucky

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Frankfort
Eneo
 - Jumla 104,659 km²
 - Kavu 102,896 km² 
 - Maji 1,763 km² 
Tovuti:  http://www.kentucky.gov/

Kentucky ni jimbo (commonwealth) la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu ni Frankfort.

Miji muhimu baada ya Frankfort ni Louisville, Lexington, Paducah, Pikeville na Ashland.

Kiingereza ni lugha rasmi.

Imepakana na Illinois, Indiana, Ohio, West Virginia (Virginia Magharibi), North Carolina (Carolina Kaskazini), Tennessee na Missouri.

Jimbo lina wakazi wapatao 4,269,245 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 104,659.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy